https://www.poetrytranslation.org/poem/the-banana-plant/
A. What is the general mood of the poem? Chagua jibu: Furaha / Huzuni / Hofu / Hasira
Eleza jibu lako
B. Match the words/phrases with their meanings:
-
Bustani
-
Magomvi
-
Kusita
-
Vidonda vya ukoma
-
Wafanyakazi wa bustani
a. Ugomvi, kutokuelewana
b. Watu wanaofanya kazi ya kupanda na kutunza mimea
c. Mahali pa kupanda mimea
d. Kuwa na mashaka, kutosonga mara moja
e. Maumivu yasiyotibiwa, matatizo makubwa
Use two of the words above to make your own sentences:
•
•
C. Answer in complete sentences:
-
Mgomba unaashiria nini katika shairi hili?
-
Watoto wanahisi nini, na kwa nini?
-
Ni matatizo gani yanajificha ndani ya familia?
D. Jibu maswali haya
A) Je, matatizo ya familia yangedhibitiwa mapema? Eleza.
B) Ni nani anawajibika zaidi kwa "kuanguka kwa milki ya Lexanda"? Kwa nini?
Jibu kwa aya fupi (3–5 sentensi):
No comments:
Post a Comment