Tuesday, 13 January 2026

Begginer Dialogues


DIALOGUE: PICKING A FRIEND & VISITING A WOMEN’S PROJECT
(Practice: “TO HAVE” – KUWA NA)

SWAHILI

Mgeni: Habari.
Rafiki: Nzuri. Karibu.
Mgeni: Asante. Una muda sasa?
Rafiki: Ndiyo, nina muda.
Mgeni: Nina mpango wa kwenda kwenye mradi wa wanawake.
Rafiki: Sawa. Mradi una watu wangapi?
Mgeni: Una wanawake kumi.
Rafiki: Mradi una chakula?
Mgeni: Ndiyo, una chakula cha kienyeji.
Rafiki: Sawa. Twende.

(baada ya kufika)

Mwanamke wa Mradi: Karibu sana.
Mgeni: Asante.
Mwanamke wa Mradi: Tuna mradi wa wanawake.
Rafiki: Mnafanya nini hapa?
Mwanamke wa Mradi: Tunaandaa chakula endelevu.
Mgeni: Mna chakula gani?
Mwanamke wa Mradi: Tuna wali, mboga na samaki.
Rafiki: Mna wateja?
Mwanamke wa Mradi: Ndiyo, tuna watalii wengi.
Mgeni: Mradi una manufaa kwa jamii.
Mwanamke wa Mradi: Ndiyo, una msaada kwa wanawake.
Mgeni: Nina furaha kuwa hapa.
Mwanamke wa Mradi: Asante sana.


ENGLISH

Visitor: Hello.
Friend: Hello. Welcome.
Visitor: Thank you. Do you have time now?
Friend: Yes, I have time.
Visitor: I have a plan to go to a women’s project.
Friend: Okay. How many people does the project have?
Visitor: It has ten women.
Friend: Does the project have food?
Visitor: Yes, it has local food.
Friend: Okay. Let’s go.

(after arriving)

Woman at the Project: You are very welcome.
Visitor: Thank you.
Woman at the Project: We have a women’s project.
Friend: What do you do here?
Woman at the Project: We prepare sustainable food.
Visitor: What food do you have?
Woman at the Project: We have rice, vegetables and fish.
Friend: Do you have customers?
Woman at the Project: Yes, we have many tourists.
Visitor: The project has benefits for the community.
Woman at the Project: Yes, it supports women.
Visitor: I am happy to be here.
Woman at the Project: Thank you very much.

FOLLOW-UP DIALOGUE: BUYING FOOD
(Practice: “TO HAVE” – KUWA NA)

SWAHILI

Mgeni: Habari.
Mwanamke wa Mradi: Habari, karibu.
Mgeni: Nina njaa.
Mwanamke wa Mradi: Tuna chakula kizuri.
Mgeni: Mna chakula gani leo?
Mwanamke wa Mradi: Tuna wali na mboga.
Mgeni: Chakula kina bei gani?
Mwanamke wa Mradi: Ni shilingi elfu tano.
Mgeni: Nina pesa taslimu.
Mgeni: Una chenji?
Mwanamke wa Mradi: Ndiyo, nina chenji.
Mgeni: Sawa, ninachukua chakula.
Mwanamke wa Mradi: Asante sana.
Mgeni: Asante.


ENGLISH

Visitor: Hello.
Woman at the Project: Hello, welcome.
Visitor: I am hungry.
Woman at the Project: We have good food.
Visitor: What food do you have today?
Woman at the Project: We have rice and vegetables.
Visitor: How much is the food?
Woman at the Project: It is five thousand shillings.
Visitor: I have cash.
Visitor: Do you have change?
Woman at the Project: Yes, I have change.
Visitor: Okay, I’ll take the food.
Woman at the Project: Thank you very much.
Visitor: Thank you.



Friday, 9 January 2026

Begginer Dialogues


DIALOGUE 1: AIRPORT (IMMIGRATION)

SWAHILI

Afisa wa Uhamiaji: Habari, karibu.
Mgeni: Habari.
Afisa wa Uhamiaji: Jina lako nani?
Mgeni: Jina langu ni ______.
Afisa wa Uhamiaji: Unatoka nchi gani?
Mgeni: Ninatoka ______.
Afisa wa Uhamiaji: Unakuja Tanzania kwa nini?
Mgeni: Ninakuja kwa likizo.
Afisa wa Uhamiaji: Utakaa Tanzania kwa muda gani?
Mgeni: Nitakaa wiki mbili.
Afisa wa Uhamiaji: Unakaa wapi?
Mgeni: Nitakaa hotelini.
Afisa wa Uhamiaji: Una familia au rafiki hapa?
Mgeni: Ndiyo, nina rafiki hapa.
Afisa wa Uhamiaji: Sawa. Karibu Tanzania.
Mgeni: Asante sana.


ENGLISH

Immigration Officer: Hello, welcome.
Visitor: Hello.
Immigration Officer: What is your name?
Visitor: My name is ______.
Immigration Officer: Which country are you coming from?
Visitor: I am coming from ______.
Immigration Officer: Why are you coming to Tanzania?
Visitor: I am coming for a holiday.
Immigration Officer: How long will you stay in Tanzania?
Visitor: I will stay for two weeks.
Immigration Officer: Where will you stay?
Visitor: I will stay at a hotel.
Immigration Officer: Do you have family or a friend here?
Visitor: Yes, I have a friend here.
Immigration Officer: Okay. Welcome to Tanzania.
Visitor: Thank you very much.


==========================
DIALOGUE 2: HOTEL (CHECK-IN)

SWAHILI

Mhudumu wa Hoteli: Habari, karibu hotelini.
Mgeni: Habari.
Mhudumu wa Hoteli: Jina lako nani tafadhali?
Mgeni: Jina langu ni ______.
Mhudumu wa Hoteli: Una booking?
Mgeni: Ndiyo, nina booking.
Mhudumu wa Hoteli: Ume-book kwa siku ngapi?
Mgeni: Nime-book kwa siku kumi na nne.
Mhudumu wa Hoteli: Chumba kimoja au viwili?
Mgeni: Chumba kimoja tafadhali.
Mhudumu wa Hoteli: Hiki ni chumba chako.
Mhudumu wa Hoteli: Hii ni funguo yako.
Mgeni: Asante sana.
Mhudumu wa Hoteli: Kama una swali, tafadhali uliza.
Mgeni: Sawa, asante.


ENGLISH

Hotel Receptionist: Hello, welcome to the hotel.
Guest: Hello.
Hotel Receptionist: What is your name please?
Guest: My name is ______.
Hotel Receptionist: Do you have a booking?
Guest: Yes, I have a booking.
Hotel Receptionist: How many days have you booked?
Guest: I have booked for fourteen days.
Hotel Receptionist: One room or two?
Guest: One room please.
Hotel Receptionist: This is your room.
Hotel Receptionist: This is your key.
Guest: Thank you very much.
Hotel Receptionist: If you have a question, please ask.
Guest: Okay, thank you.


==========================
DIALOGUE 3: RESTAURANT

SWAHILI

Mhudumu: Karibu.
Mgeni: Asante.
Mhudumu: Unaweza kukaa hapa.
Mgeni: Sawa.
Mhudumu: Ungependa kula nini?
Mgeni: Ningependa chakula cha Kitanzania.
Mhudumu: Tuna wali, ugali, samaki na kuku.
Mgeni: Nataka wali na kuku.
Mhudumu: Unataka kunywa nini?
Mgeni: Nataka maji, tafadhali.
Mhudumu: Sawa.
Mhudumu: Chakula kiko tayari.
Mgeni: Asante.
Mhudumu: Chakula ni kizuri?
Mgeni: Ndiyo, ni kizuri sana.
Mgeni: Naomba bili.
Mhudumu: Hii hapa.
Mgeni: Asante sana.


ENGLISH

Waiter: Welcome.
Guest: Thank you.
Waiter: You can sit here.
Guest: Okay.
Waiter: What would you like to eat?
Guest: I would like Tanzanian food.
Waiter: We have rice, ugali, fish and chicken.
Guest: I want rice and chicken.
Waiter: What would you like to drink?
Guest: I want water, please.
Waiter: Okay.
Waiter: The food is ready.
Guest: Thank you.
Waiter: Is the food good?
Guest: Yes, it is very good.
Guest: May I have the bill?
Waiter: Here it is.
Guest: Thank you very much.


==========================
DIALOGUE 4: SHOP / MARKET

SWAHILI

Muuzaji: Karibu.
Mgeni: Asante.
Muuzaji: Unatafuta nini?
Mgeni: Natafuta zawadi.
Muuzaji: Unataka zawadi ya aina gani?
Mgeni: Nataka zawadi ndogo.
Muuzaji: Hii ni nzuri sana.
Mgeni: Bei gani?
Muuzaji: Ni shilingi elfu kumi.
Mgeni: Ni ghali kidogo.
Muuzaji: Sawa, elfu nane.
Mgeni: Sawa.
Mgeni: Asante.
Muuzaji: Asante, karibu tena.


ENGLISH

Shopkeeper: Welcome.
Visitor: Thank you.
Shopkeeper: What are you looking for?
Visitor: I am looking for a gift.
Shopkeeper: What kind of gift do you want?
Visitor: I want a small gift.
Shopkeeper: This one is very nice.
Visitor: How much is it?
Shopkeeper: It is ten thousand shillings.
Visitor: It is a bit expensive.
Shopkeeper: Okay, eight thousand.
Visitor: Okay.
Visitor: Thank you.
Shopkeeper: Thank you, welcome again.


==========================
DIALOGUE 5: TAXI / TRANSPORT

SWAHILI

Dereva wa Teksi: Habari.
Mgeni: Habari.
Dereva wa Teksi: Unakwenda wapi?
Mgeni: Naenda hotelini.
Dereva wa Teksi: Hoteli gani?
Mgeni: Hoteli ya ______.
Dereva wa Teksi: Iko wapi?
Mgeni: Iko karibu na katikati ya mji.
Dereva wa Teksi: Sawa.
Dereva wa Teksi: Ni watu wangapi?
Mgeni: Mtu mmoja.
Dereva wa Teksi: Safari itachukua dakika ishirini.
Mgeni: Sawa.
Dereva wa Teksi: Bei ni shilingi elfu ishirini.
Mgeni: Ni ghali kidogo.
Dereva wa Teksi: Sawa, elfu kumi na tano.
Mgeni: Sawa.
Dereva wa Teksi: Uko tayari?
Mgeni: Ndiyo, niko tayari.
Dereva wa Teksi: Twende.


ENGLISH

Taxi Driver: Hello.
Visitor: Hello.
Taxi Driver: Where are you going?
Visitor: I am going to the hotel.
Taxi Driver: Which hotel?
Visitor: ______ Hotel.
Taxi Driver: Where is it?
Visitor: It is near the city center.
Taxi Driver: Okay.
Taxi Driver: How many people?
Visitor: One person.
Taxi Driver: The trip will take twenty minutes.
Visitor: Okay.
Taxi Driver: The price is twenty thousand shillings.
Visitor: It is a bit expensive.
Taxi Driver: Okay, fifteen thousand.
Visitor: Okay.
Taxi Driver: Are you ready?
Visitor: Yes, I am ready.
Taxi Driver: Let’s go.



Tuesday, 28 October 2025

Beginner Grammar Review (basic greetings, introductions, personal pronouns, verbs, tenses, family, days/months, numbers, and around the house)

A. Greetings & Introduction

  1. Write two Swahili greetings.

  2. How do you say “My name is…” in Swahili?

  3. Translate: How are you?

  4. Respond politely in Swahili: I am fine.

  5. Translate: See you tomorrow.

B. Personal Pronouns – Fill in the blanks

(mimi, wewe, yeye, sisi, ninyi, wao)

  1. _______ ni mwanafunzi.

  2. _______ unatoka wapi?

  3. _______ ana miaka 10.

  4. _______ tunaishi Kenya.

  5. _______ mnasoma Kiswahili.

  6. _______ wanacheza mpira.

C. Verb Tenses Review

Complete with the correct verb form

  1. Mimi ___ (kula) wali sasa.

  2. Jana yeye ___ (soma) shuleni.

  3. Kesho sisi ___ (cheza) mpira.

  4. Wao ___ (fika) tayari?

  5. Wewe ___ (kunywa) maziwa kila asubuhi.

  6. Mama ___ (pika) chakula jana jioni.

  7. Mimi ___ (enda) sokoni kesho.

  8. Mtoto ___ (maliza) kazi yake?

  9. Sisi ___ (ishi) Nairobi kwa sasa.

  10. Walimu ___ (fundisha) jana?

  11. Ninyi ___ (nunua) vitu tayari?

  12. Yeye ___ (cheza) leo mchana.

  13. Mimi ___ (ona) filamu kesho usiku.

  14. Wao ___ (soma) vitabu vingi tayari.

  15. Wewe ___ (fanya) mtihani jana?

D. Family Vocabulary – Translate

  1. father

  2. mother

  3. brother

  4. sister

  5. babu

  6. shangazi

  7. mtoto

  8. mzazi

E. Days & Months – Translate

  1. Monday

  2. Friday

  3. January

  4. June

F. Numbers

Write in Kiswahili

  1. 4

  2. 9

  3. 12

  4. 20

G. Around the House – Translate

  1. table

  2. door

  3. window

  4. kitchen

  5. chumba

  6. sebule

  7. bafu

  8. nyumba


SHAIRI [POEM] 1: Mgomba

https://www.poetrytranslation.org/poem/the-banana-plant/

A. What is the general mood of the poem? Chagua jibu: Furaha / Huzuni / Hofu / Hasira

        Eleza jibu lako

B. Match the words/phrases with their meanings:

  1. Bustani

  2. Magomvi

  3. Kusita

  4. Vidonda vya ukoma

  5. Wafanyakazi wa bustani

a. Ugomvi, kutokuelewana
b. Watu wanaofanya kazi ya kupanda na kutunza mimea
c. Mahali pa kupanda mimea
d. Kuwa na mashaka, kutosonga mara moja
e. Maumivu yasiyotibiwa, matatizo makubwa

Use two of the words above to make your own sentences:

C. Answer in complete sentences:

  1. Mgomba unaashiria nini katika shairi hili?

  2. Watoto wanahisi nini, na kwa nini?

  3. Ni matatizo gani yanajificha ndani ya familia?

D. Jibu maswali haya

A) Je, matatizo ya familia yangedhibitiwa mapema? Eleza.
B) Ni nani anawajibika zaidi kwa "kuanguka kwa milki ya Lexanda"? Kwa nini?

Jibu kwa aya fupi (3–5 sentensi):


Monday, 29 September 2025

Video Lesson

Video Link:

👉 China yafungua rasmi daraja kubwa zaidi duniani


1️New Words from the Video

Write 5 new words or phrases you hear:






 

2️My Sentences

Use each new word in your own sentence:






 

3️Grammar Point: Superlatives

Jaza nafasi zilizoachwa wazi

  1. Mji __________ zaidi duniani ni __________.
  2. Mlima __________ zaidi duniani ni __________.
  3. Chakula __________ zaidi ninachopenda ni __________.
  4. Mchezaji __________ zaidi ni __________.
  5. Filamu __________ zaidi niliyoona ni __________.

 

 

Friday, 26 September 2025

Kiswahili Quiz – Intermediate Level

Section A: Grammar & Structures

1. Negations – Badilisha sentensi hizi kuwa kinyume (negative):

  1. Nina kaka mmoja.

  2. Wanafunzi wanakimbia uwanjani.

  3. Tunakunywa maji.

  4. Mama anaenda sokoni.

  5. Mtoto amelala.

2. “TO BE” – (kuwa) – Jaza nafasi:

  1. Mimi ___ mwanafunzi. (present tense)

  2. Wewe ___ dada yangu. (past tense)

  3. Sisi ___ marafiki. (future tense)

  4. Yeye ___ mgonjwa. (past perfect tense)

  5. Wao ___ walimu. (present tense)

3. “TO HAVE” – (kuwa na) – Tafsiri kwa Kiswahili:

  1. She has a house.

  2. We had many books.

  3. I have a good friend.

  4. They will have two cars.

  5. He has a dog.

4. Numbers & Time

  1. Andika saa kwa Kiswahili: 4:15 pm

  2. Andika nambari kwa Kiswahili: 237

  3. Andika nambari kwa Kiswahili: 1,045

  4. Je, siku moja ina saa ngapi?

  5. Andika kwa Kiswahili: 19th January

5. Demonstratives – Tafsiri:

  1. This is my book.

  2. Whose pen is that?

  3. Those shirts are yours.

  4. Who is this?

  5. Whose dress is this?


Section B: Vocabulary & Communication

6. Greetings (Colloquial Chp. 1)
Tengeneza mazungumzo mafupi kati ya watu wawili wanaokutana mara ya kwanza:

_________________________________
_________________________________
_________________________________
_________________________________

7. Colors
Taja rangi tatu unazopenda:

  1. ___________________
  2. ___________________
  3. ___________________

8. Hisia (Feelings) – Jibu maswali kwa Kiswahili:

  1. Una hisi vipi leo?

  2. Unapokuwa na huzuni, unafanya nini?

  3. Ni wakati gani unahisi furaha zaidi?

  4. Je, rafiki yako anapokuwa na hasira, unamshauri nini?

  5. Ni jambo gani linakufanya uogope?

9. Foods / Recipes

a) Taja vyakula vitatu unavyopenda kula nyumbani:

  1. ___________________
  2. ___________________
  3. ___________________

b) Andika hatua za kupika wali kwa Kiswahili:
_________________________________
_________________________________

10. Possessives – Jaza nafasi:

  1. Hii ni kalamu ______ (langu / yangu).

  2. Hizo ni vitabu ______ (vyetu / wetu).

  3. Hii ni nyumba ______ (yake / zake).

  4. Hawa ni marafiki ______ (wangu / yangu).

  5. Hizi ni nguo ______ (zake / yake).


Section C: Reading Comprehension

Soma kifungu kifuatacho, kisha jibu maswali:

Kusherehekea Siku ya Kuzaliwa ya Dadangu
Jumamosi tutasherehekea siku ya kuzaliwa ya dadangu Amina. Atafikisha miaka ishirini na mitano. Asubuhi tutapamba nyumba kwa mapambo mazuri. Mama atapika wali na kuku, na kaka yangu ataleta keki kubwa yenye mishumaa. Wakati wa mchana marafiki wa Amina watakuja. Dada yangu atakata keki na kugawa vipande kwa kila mtu. Tutacheza muziki na michezo hadi jioni. Itakuwa siku ya furaha sana kwa familia yetu.

Maswali:

  1. Ni nani atasherehekea siku ya kuzaliwa?

  2. Amina atatimiza miaka mingapi?

  3. Mama atapika chakula gani?

  4. Ni akina nani watakuja?

  5. Eleza kwa sentensi moja jinsi familia itakavyohisi siku hiyo.


Tuesday, 23 September 2025

Homework Worksheet (Personal pronouns, Negations, Days, Time, Family, Home)

Personal Pronouns + Negation

A. Personal Pronouns
Translate into Kiswahili and make a sentence.

Pronoun (English)

Kiswahili

My Sentence in Kiswahili

I

_________

________________________

You

_________

________________________

He

_________

________________________

She

_________

________________________

We

_________

________________________

They

_________

________________________


B. Negation Practice
Translate and write in Kiswahili.

  1. I eat rice → __________________________
  2. She is happy → ________________________
  3. They go to school → ___________________

C. Pop Quiz – Make Your Own
Write 5 negative sentences in Kiswahili:







Family + Days/Months + Numbers

A. My Family
Write 6 sentences in Kiswahili about your family.








B. Days of the Week (Translate into Kiswahili)

  1. Monday → ___________
  2. Tuesday → __________
  3. Wednesday → ________
  4. Thursday → _________
  5. Friday → ___________
  6. Saturday → _________
  7. Sunday → ___________

C. Months of the Year (Translate into Kiswahili)
January = ___________, February = ___________, … December = ___________


D. Sentences (Translate into Kiswahili)

  • Today is Monday. → _____________________
  • Yesterday was Sunday. → _________________
  • Tomorrow will be Tuesday. → _____________

E. Numbers Practice

  1. Write numbers 1–20 in Kiswahili.

  1. My age: I am twelve years old. → ____________________________

Time + Tenses

A. Time Practice
Translate into Kiswahili.

  1. It is three o’clock. → ___________________
  2. It is half past seven. → _________________
  3. It is quarter past twelve. → ______________

B. Tenses Review
Write 2 sentences in Kiswahili for each.

  • Present:


  • Past:


  • Future:



C. Short Dialogue
Translate into Kiswahili:

A: What time is it?
B: It is six o’clock.
A: What do you do at six?
B: I eat dinner.


Reading & Translation + Review Quiz

A. Reading Practice
Translate this into Kiswahili, then read aloud:

“My name is ____. I live in a house. My house has two rooms. My family is small. My favorite room is the bedroom.”


B. Translation
Write 5 sentences about your trip in English, then translate them into Kiswahili.







C. Review Quiz

  1. Write 3 sentences with negation in Kiswahili:



  2. Today’s date in Kiswahili: _________________________
  3. The time now in Kiswahili: _________________________
  4. Count from 1–20 in Kiswahili: ______________________