Sikiliza kisha ujibu mswali yafuatayo
- Khalai ana umri gani?
- Asubuhi, Khalai anausihi ule mti mchanga wa mchungwa kufanya nini?
- Akiwa njiani kwenda shuleni, Khalai anazungumza na nini na anasema nini?
- Khalai anataka maua yanawiri kwa nini?
- Mti ambao Khalai anazungumza nao, uko wapi?
- Ua wa shule ukiwa na nguvu utasaidiaje shule?
- Alasiri anaporudi nyumbani, Khalai anafanya nini?
- Baada ya kugundua kutoiva kwa machungwa, Khalai anafanyaje?
- Kamilisha sentensi: Nitakuona kesho, we mti wa machungwa______________
- Siku nzima, Khalai anajihusisha vipi na mazingira yake?
No comments:
Post a Comment