Thursday, 14 December 2023

Listening Exercise: Uamuzi


 

  1. Kijiji kilikuwa na matatizo gani, kulingana na hadithi?
  2. Watu walilazimika kusubiri muda mrefu kuchota maji kwa sababu gani?
  3. Watu wa kijiji walikuwa wanangojea msaada gani?
  4. Kwa nini watu walikuwa wakifunga nyumba zao mapema?
  5. Watoto wa aina gani walikumbwa na shida zaidi katika kijiji chako?
  6. Uchafuzi wa mazingira ulileta madhara gani, kama ilivyoonyeshwa katika hadithi?
  7. Mkutano wa kijiji uliitishwa kwa sababu gani?
  8. Watu wa kijiji walijibuje wito wa kushirikiana kutatua matatizo yao?
  9. Juma na wanawake walitoa mawazo gani kwenye mkutano?
  10. Tangu siku hiyo, watu wa kijiji wamechukua hatua gani kuboresha hali yao?

No comments:

Post a Comment