Wednesday, 10 January 2024

Listening Exercise: Siku niliyoondoka nyumbani kuelekea mjini


 Jibu maswali yafuatayo

  1. Ni shughuli gani zilizokuwa zikifanyika kituoni cha basi?
  2. Msimulizi wa hadithi alijuaje ni basi lipi atapanda?
  3. Abiria wapya walijiandaa vipi kwa safari?
  4. Mtu aliyeketi karibu na msimulizi alivaa mavazi ya aina gani?
  5. Msimulizi alilelewa wapi?
  6. Ni nini kilichomfurahisha msimulizi kuhusu wachuuzi wa barabarani?
  7. Abiria walinunua nini wakati wa safari?
  8. Ni nini kilichosababisha kumalizika kwa shughuli kituoni, na kondakta alitaka wachuuzi wafanye nini?
  9. Mawazo gani yalikuwa akilini mwa msimulizi kuhusu nyumbani?
  10. Msimulizi aliamshwa na nini?


No comments:

Post a Comment