Jibu maswali yafuatayo
- Ni shughuli gani zilizokuwa zikifanyika kituoni cha basi?
- Msimulizi wa hadithi alijuaje ni basi lipi atapanda?
- Abiria wapya walijiandaa vipi kwa safari?
- Mtu aliyeketi karibu na msimulizi alivaa mavazi ya aina gani?
- Msimulizi alilelewa wapi?
- Ni nini kilichomfurahisha msimulizi kuhusu wachuuzi wa barabarani?
- Abiria walinunua nini wakati wa safari?
- Ni nini kilichosababisha kumalizika kwa shughuli kituoni, na kondakta alitaka wachuuzi wafanye nini?
- Mawazo gani yalikuwa akilini mwa msimulizi kuhusu nyumbani?
- Msimulizi aliamshwa na nini?
No comments:
Post a Comment