A: Jaza nafasi zilizo wazi kwa neno sahihi:
Maneno ya kutumia: iko, yuko, kiko, wako, ziko
Kitabu ______ mezani.
Mama ______ jikoni.
Kiti ______ sebuleni.
Watoto ______ shuleni.
Kalamu ______ mfukoni.
Mwalimu ______ darasani.
Vikombe ______ kabatini.
Simu yangu ______ chumbani.
Mbwa ______ nje ya nyumba.
Wanafunzi ______ maktaba.
B: Tafsiri kwa Kiswahili
The teacher is in the classroom.
The books are on the table.
My mother is in the kitchen.
The children are at school.
The dog is outside.
C: Tumia kitenzi kwenye mabano katika hali ya subjunctive.
Nataka ni_____ kitabu. (soma)
Mama anataka u_____ mlango. (funga)
Mwalimu anataka a_____ barua. (andika)
Tunataka tu_____ chumba. (safisha)
Baba anataka m_____ maji. (kunywa)
Ninataka wa_____ mapema. (kuja)
Nataka ni_____ sokoni. (enda)
Mwalimu anataka tu_____ Kiswahili. (jifunza)
Mama anataka a_____ chai. (pika)
Tunataka wa_____ kazi. (fanya)
D: Kanusha sentensi (Negate)
Present Tense
Ninakula.
Unacheza.
Anafanya kazi.
Tunasoma.
Wanaimba.
Past Tense
Nilisoma.
Ulicheza.
Alikuja.
Tulienda sokoni.
Walikunywa chai.
Past Perfect
Umesoma.
Ameenda.
Tumekula.
Wameandika.
Umesafisha chumba.
E: Andika sentensi 5 kuhusu vitu au watu waliopo nyumbani kwako.
Tumia:
• iko
• yuko
• kiko
• wako
• ziko
No comments:
Post a Comment