Tuesday, 23 June 2026

Kiswahili Grammar Practice: Locatives, Subjunctives & Negations

 A: Jaza nafasi zilizo wazi kwa neno sahihi:

Maneno ya kutumia: iko, yuko, kiko, wako, ziko

  1. Kitabu ______ mezani.

  2. Mama ______ jikoni.

  3. Kiti ______ sebuleni.

  4. Watoto ______ shuleni.

  5. Kalamu ______ mfukoni.

  6. Mwalimu ______ darasani.

  7. Vikombe ______ kabatini.

  8. Simu yangu ______ chumbani.

  9. Mbwa ______ nje ya nyumba.

  10. Wanafunzi ______ maktaba.

B: Tafsiri kwa Kiswahili

  1. The teacher is in the classroom.

  2. The books are on the table.

  3. My mother is in the kitchen.

  4. The children are at school.

  5. The dog is outside.

C: Tumia kitenzi kwenye mabano katika hali ya subjunctive.

  1. Nataka ni_____ kitabu. (soma)

  2. Mama anataka u_____ mlango. (funga)

  3. Mwalimu anataka a_____ barua. (andika)

  4. Tunataka tu_____ chumba. (safisha)

  5. Baba anataka m_____ maji. (kunywa)

  6. Ninataka wa_____ mapema. (kuja)

  7. Nataka ni_____ sokoni. (enda)

  8. Mwalimu anataka tu_____ Kiswahili. (jifunza)

  9. Mama anataka a_____ chai. (pika)

  10. Tunataka wa_____ kazi. (fanya)

D: Kanusha sentensi (Negate)

Present Tense

  1. Ninakula.

  2. Unacheza.

  3. Anafanya kazi.

  4. Tunasoma.

  5. Wanaimba.

Past Tense

  1. Nilisoma.

  2. Ulicheza.

  3. Alikuja.

  4. Tulienda sokoni.

  5. Walikunywa chai.

Past Perfect

  1. Umesoma.

  2. Ameenda.

  3. Tumekula.

  4. Wameandika.

  5. Umesafisha chumba.

E: Andika sentensi 5 kuhusu vitu au watu waliopo nyumbani kwako.

Tumia:

• iko

• yuko

• kiko

• wako

• ziko

No comments:

Post a Comment